Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+ Zaburi 37:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia upate furaha tele katika Yehova,+Naye atakupa maombi ya moyo wako.+ Isaya 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+ Mathayo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+
17 Tamaa ya wapole hakika utaisikia,+ Ee Yehova.Utautayarisha moyo wao.+Utasikiliza kwa makini kwa sikio lako.+
9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+
6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+