Zaburi 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+Husimama katika njia isiyo nzuri.+Hakatai lililo baya.+ Zaburi 64:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wanaendelea kutafuta mambo yasiyo ya uadilifu;+Wameficha mbinu ya werevu iliyofikiriwa sana,+Na upande wa ndani wa kila mmoja, naam, moyo wake, una kina kirefu.+ Methali 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+ Zekaria 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+ Mathayo 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+
4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+Husimama katika njia isiyo nzuri.+Hakatai lililo baya.+
6 Wanaendelea kutafuta mambo yasiyo ya uadilifu;+Wameficha mbinu ya werevu iliyofikiriwa sana,+Na upande wa ndani wa kila mmoja, naam, moyo wake, una kina kirefu.+
10 wala msimpunje mjane+ yeyote na mvulana yeyote asiye na baba,+ wala mkaaji mgeni+ au mwenye kuteseka,+ wala msipangiane jambo lolote baya mioyoni mwenu.’+
28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+