Kutoka 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Msimtese mjane yeyote wala mvulana asiye na baba.+ Kumbukumbu la Torati 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+ Methali 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+
10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+