Ayubu 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ni kwa kadiri gani mtaendelea kupiga kura juu ya mtu asiye na baba,+Na kumtumia mwenzenu kufanya biashara!+ Zaburi 94:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wanamuua mjane na mkaaji mgeni,+Nao wanawaua wavulana wasio na baba.+ Yeremia 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ikiwa hamtamkandamiza mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane,+ nanyi hamtamwaga damu isiyo na hatia mahali hapa,+ hamtaifuata miungu mingine ili kujiletea wenyewe msiba,+
27 Ni kwa kadiri gani mtaendelea kupiga kura juu ya mtu asiye na baba,+Na kumtumia mwenzenu kufanya biashara!+
6 ikiwa hamtamkandamiza mkaaji mgeni, mvulana asiye na baba na mjane,+ nanyi hamtamwaga damu isiyo na hatia mahali hapa,+ hamtaifuata miungu mingine ili kujiletea wenyewe msiba,+