Zaburi 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+Husimama katika njia isiyo nzuri.+Hakatai lililo baya.+ Methali 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+ Zekaria 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi msipangiane mabaya mioyoni mwenu,+ wala msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana nimeyachukia mambo hayo yote,’+ asema Yehova.” Marko 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+
4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+Husimama katika njia isiyo nzuri.+Hakatai lililo baya.+
17 Nanyi msipangiane mabaya mioyoni mwenu,+ wala msipende kiapo chochote cha uwongo;+ kwa maana nimeyachukia mambo hayo yote,’+ asema Yehova.”
21 kwa maana kutoka ndani, kutoka katika moyo wa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,+ wizi, mauaji,+