-
2 Mambo ya Nyakati 22:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Naye aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, kama watu wa nyumba ya Ahabu, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, jambo lililofanya aangamie.
-