29 Kwa hiyo Yehoramu+ mfalme akarudi Yezreeli+ ili apone yale majeraha waliyomtia Wasiria kule Rama alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria. Naye Ahazia+ mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akashuka ili amwone Yehoramu mwana wa Ahabu katika Yezreeli, kwa maana alikuwa mgonjwa.