2 Wafalme 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+ Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.”
15 Baadaye Yehoramu+ mfalme akarudi kule Yezreeli+ ili apone yale majeraha ambayo Wasiria walimtia alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.+ Sasa Yehu akasema: “Nafsi yenu ikikubali,+ msiache yeyote akimbie kutoka jijini na kupeleka habari Yezreeli.”