2 Wafalme 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yehu akaanza kupanda, akaenda Yezreeli; kwa maana Yehoramu alikuwa amelala huko, na Ahazia+ mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka kwenda kumwona Yehoramu.
16 Na Yehu akaanza kupanda, akaenda Yezreeli; kwa maana Yehoramu alikuwa amelala huko, na Ahazia+ mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka kwenda kumwona Yehoramu.