6 Kwa hiyo akarudi Yezreeli+ ili apone yale majeraha waliyokuwa wamemtia kule Rama+ alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.
Naye Azaria+ mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda akashuka ili amwone Yehoramu+ mwana wa Ahabu kule Yezreeli, kwa maana alikuwa mgonjwa.+