Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mpaka wao ukafika hadi Yezreeli+ na Kesulothi na Shunemu,+

  • 1 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na ikawa kwamba baada ya mambo hayo palikuwa na shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, lililokuwa kule Yezreeli,+ kando ya jumba la mfalme Ahabu, mfalme wa Samaria.

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo akarudi Yezreeli+ ili apone yale majeraha waliyokuwa wamemtia kule Rama+ alipopigana na Hazaeli mfalme wa Siria.

      Naye Azaria+ mwana wa Yehoramu+ mfalme wa Yuda akashuka ili amwone Yehoramu+ mwana wa Ahabu kule Yezreeli, kwa maana alikuwa mgonjwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki