Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+

  • 2 Samweli 15:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini ukirudi jijini nawe umwambie Absalomu, ‘Mimi ni mtumishi wako, Ee mfalme. Nilikuwa mtumishi wa baba yako wakati ule, naam mimi, lakini sasa mimi, naam mimi, ni mtumishi wako,’+ ndipo utavunja+ shauri la Ahithofeli kwa ajili yangu.

  • Ayubu 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwake Yeye anayevunja hila za werevu,

      Hivi kwamba mikono yao haifanyi kazi ikawa na matokeo;+

  • Methali 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+

  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Isaya 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+

  • 1 Wakorintho 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki