2 Samweli 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi watu wote wa Israeli wakaanza kupanda, wakaacha kumfuata Daudi ili wamfuate Sheba mwana wa Bikri;+ lakini watu wa Yuda wakashikamana na mfalme wao kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.+ 2 Samweli 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi mfalme akamwambia Amasa:+ “Wakusanye watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe usimame hapa.”
2 Basi watu wote wa Israeli wakaanza kupanda, wakaacha kumfuata Daudi ili wamfuate Sheba mwana wa Bikri;+ lakini watu wa Yuda wakashikamana na mfalme wao kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.+
4 Basi mfalme akamwambia Amasa:+ “Wakusanye watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe usimame hapa.”