25 Na Amasa+ ndiye ambaye Absalomu aliweka mahali pa Yoabu+ juu ya jeshi; na Amasa alikuwa mwana wa mtu ambaye jina lake lilikuwa Ithra,+ Mwisraeli, aliyelala na Abigaili,+ binti ya Nahashi, dada ya Seruya, mama ya Yoabu.
13 Nanyi mwambieni Amasa,+ ‘Je, wewe si mfupa wangu na nyama yangu? Basi Mungu na anifanyie hivyo na kuzidisha+ jambo hilo ikiwa hutakuwa mkuu wa jeshi mbele yangu sikuzote badala ya Yoabu.’”+