27 Na ikawa kwamba alipofika huko akaanza kupiga baragumu+ katika eneo lenye milima la Efraimu;+ na wana wa Israeli wakaanza kushuka pamoja naye kutoka katika eneo lenye milima, yeye akiwa mbele yao.
10 Sasa Absalomu akatuma wapelelezi+ katika nchi yote ya Israeli, akisema: “Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, ninyi pia mseme, ‘Absalomu amekuwa mfalme+ katika Hebroni!’”+