16 Basi mfalme akatoka, pamoja na watu wote wa nyumbani mwake wakimfuata miguuni pake,+ na mfalme akawaacha wanawake kumi, masuria,+ ili waitunze nyumba.
21 Ndipo Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Lala na masuria wa baba yako,+ aliowaacha nyuma kuitunza nyumba.+ Na Israeli wote hakika watasikia kwamba umenuka+ mbele ya baba yako,+ na mikono+ ya wote walio pamoja nawe itapata nguvu.”