Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+

  • 2 Samweli 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Lala na masuria wa baba yako,+ aliowaacha nyuma kuitunza nyumba.+ Na Israeli wote hakika watasikia kwamba umenuka+ mbele ya baba yako,+ na mikono+ ya wote walio pamoja nawe itapata nguvu.”

  • 2 Samweli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwishowe Daudi akaja nyumbani kwake katika Yerusalemu.+ Ndipo mfalme akawachukua wale wanawake kumi,+ masuria aliokuwa amewaacha nyuma kuitunza nyumba, akawaweka katika nyumba ya ulinzi, lakini akaendelea kuwapa chakula. Naye hakulala nao+ tena, lakini wakaendelea kufungiwa kabisa mpaka siku walipokufa, wakiwa wajane wenye mume aliye hai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki