-
2 Samweli 20:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Mwishowe Daudi akaja nyumbani kwake katika Yerusalemu.+ Ndipo mfalme akawachukua wale wanawake kumi,+ masuria aliokuwa amewaacha nyuma kuitunza nyumba, akawaweka katika nyumba ya ulinzi, lakini akaendelea kuwapa chakula. Naye hakulala nao+ tena, lakini wakaendelea kufungiwa kabisa mpaka siku walipokufa, wakiwa wajane wenye mume aliye hai.
-