Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Daudi alipoona kwamba watumishi wake wananong’onezana, Daudi akaanza kutambua kwamba yule mtoto amekufa. Kwa hiyo Daudi akawaambia watumishi wake: “Je, mtoto amekufa?” Wakasema: “Amekufa.”

  • 2 Samweli 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye hakukubali kuisikiliza sauti yake, bali akatumia nguvu kubwa kuliko zake, akamfedhehesha+ na kulala naye.+

  • 2 Samweli 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye katika Yerusalemu: “Simameni, tukimbie;+ kwa maana hatutaponyoka kwa sababu ya Absalomu! Nendeni upesi, asije akaharakisha, akatufikia na kututendea mabaya na kulipiga jiji kwa makali ya upanga!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki