14 Kulikuwa na jiji dogo, na wanaume waliokuwamo walikuwa wachache; mfalme mkuu akaja juu yake, akalizunguka na kujenga ngome+ zilizo kubwa ili kulishambulia.
4 “Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi kuhusu nyumba za jiji hili na kuhusu nyumba za wafalme wa Yuda ambazo zimebomolewa kwa sababu ya maboma ya kuzingira na kwa sababu ya upanga;+
43 Kwa sababu siku zitakuja juu yako wakati adui zako watakapojenga kukuzunguka ngome+ yenye miti iliyochongoka+ nao watakuzunguka+ na kukutaabisha+ kutoka kila upande,