2 Samweli 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao wakaja, wakamzingira katika Abeli la Beth-maaka, wakatengeneza boma la kulizingira jiji hilo,+ kwa kuwa lilikuwa ndani ya boma. Na watu wote waliokuwa pamoja na Yoabu walikuwa wanauchimbua ukuta, ili kuubomoa.
15 Nao wakaja, wakamzingira katika Abeli la Beth-maaka, wakatengeneza boma la kulizingira jiji hilo,+ kwa kuwa lilikuwa ndani ya boma. Na watu wote waliokuwa pamoja na Yoabu walikuwa wanauchimbua ukuta, ili kuubomoa.