-
1 Wafalme 12:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Israeli wote walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, ndipo watu wakamjibu mfalme, wakisema: “Tuna fungu gani katika Daudi?+ Wala hakuna urithi katika mwana wa Yese. Haya, nenda kwa miungu yako,+ Ee Israeli. Sasa angalia nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi!”+ Kwa hiyo Israeli wakaanza kwenda katika mahema yao.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 10:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Nao Israeli wote, kwa sababu mfalme hakuwasikiliza, hao watu sasa wakamjibu mfalme, wakisema: “Tuna fungu gani katika Daudi?+ Wala hakuna urithi katika mwana wa Yese.+ Kila mmoja aende kwa miungu yake,+ Ee Israeli! Sasa angalia nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi.”+ Kwa hiyo Israeli wote wakaanza kwenda katika mahema yao.
-