2 Samweli 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mimi ni mmojawapo wa watu wanaopenda amani na waaminifu katika Israeli. Unataka kuliharibu jiji ambalo ni kama mama katika Israeli. Kwa nini uangamize* urithi wa Yehova?”+
19 Mimi ni mmojawapo wa watu wanaopenda amani na waaminifu katika Israeli. Unataka kuliharibu jiji ambalo ni kama mama katika Israeli. Kwa nini uangamize* urithi wa Yehova?”+