Kutoka 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+ Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+
5 Sasa ikiwa mtaitii kabisa sauti yangu na kushika agano langu, hakika mtakuwa mali yangu ya pekee* kati ya mataifa yote,+ kwa maana dunia yote ni mali yangu.+