Waamuzi 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo kwato za farasi zikakanyaga-kanyaga+Kwa sababu ya kutimuka-timuka kwa farasi-dume zake. Yeremia 47:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,
3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,