Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+

      Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 147:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hapendezwi na nguvu za farasi,+

      Wala hafurahii miguu ya mtu.+

  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+

  • Isaya 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 kwa sababu mishale yao imenolewa na pinde zao zote zimepindwa.+ Kwato za farasi wao zitahesabiwa kuwa jiwe,+ na magurudumu yao kama upepo wa dhoruba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki