10 Kwa sababu ya umati unaosukasuka wa farasi zake mavumbi yao yatakufunika.+ Kwa sababu ya sauti ya askari wapanda-farasi na gurudumu na gari la vita kuta zako zitatikisika, atakapoingia katika malango yako, kama ilivyo nyakati za kuingia katika jiji lililofunguliwa kwa matundu yaliyotobolewa.