3 Kutokana na sauti ya kukanyaga kwa kwato za farasi-dume+ zake, kutokana na kuvuma kwa magari yake ya vita,+ machafuko ya magurudumu yake,+ akina baba hawatawageukia wana, kwa sababu ya kulegea kwa mikono yao,
4 Na hakika wao wataziharibu kuta za Tiro+ na kuibomoa minara yake,+ nami nitakwangua mavumbi yake kutoka kwake na kumfanya kuwa uso ulio wazi na wenye kung’aa wa mwamba.