Waamuzi 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo kwato za farasi zikakanyaga-kanyaga+Kwa sababu ya kutimuka-timuka kwa farasi-dume zake. Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+ Yeremia 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kukoroma kwa farasi zake kumesikiwa kutoka Dani.+ Kutokana na sauti ya kulia kwa farasi-dume zake nchi nzima imeanza kutikisika.+ Nao wanaingia na kuila nchi na vyote vilivyomo, jiji na wakaaji wake.”
16 Kukoroma kwa farasi zake kumesikiwa kutoka Dani.+ Kutokana na sauti ya kulia kwa farasi-dume zake nchi nzima imeanza kutikisika.+ Nao wanaingia na kuila nchi na vyote vilivyomo, jiji na wakaaji wake.”