Isaya 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ameunyoosha mkono wake juu ya bahari; amezifadhaisha falme.+ Yehova mwenyewe ametoa amri juu ya Foinike, ya kuziangamiza ngome zake.+ Amosi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nitapeleka moto kwenye ukuta wa Tiro, nao utaiteketeza minara ya makao yake.’+
11 Ameunyoosha mkono wake juu ya bahari; amezifadhaisha falme.+ Yehova mwenyewe ametoa amri juu ya Foinike, ya kuziangamiza ngome zake.+