Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Naye akaanza kutoa matoleo juu ya ile madhabahu aliyokuwa amejenga Betheli, siku ya kumi na tano katika mwezi wa nane, mwezi ambao yeye mwenyewe alijibunia;+ naye akafanya sherehe kwa ajili ya wana wa Israeli na kutoa matoleo juu ya madhabahu ili kufukiza moshi wa dhabihu.+

  • 2 Wafalme 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na pia madhabahu iliyokuwa katika Betheli,+ mahali pa juu ambapo Yeroboamu+ mwana wa Nebati alitengeneza, ambaye alisababisha Israeli watende dhambi,+ hata akabomoa hiyo madhabahu na pale mahali pa juu. Kisha akapateketeza kwa moto mahali pa juu; akapasaga pakawa mavumbi na kuuteketeza kwa moto ule mti mtakatifu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na mara tu walipomaliza hayo yote, Waisraeli+ wote waliokuwa hapo wakaenda katika majiji ya Yuda,+ nao wakazivunja nguzo takatifu+ na kuikata miti mitakatifu+ na kupabomoa mahali pa juu+ na madhabahu+ kutoka katika Yuda+ yote na Benyamini na katika Efraimu+ na Manase+ mpaka walipomaliza; kisha wana wote wa Israeli wakarudi katika majiji yao, kila mmoja kwenye miliki yake.

  • Hosea 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki