1 Wafalme 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+ 1 Wafalme 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli kutenda dhambi+ na kwa kutia uchungu kwake alikomtia uchungu Yehova Mungu wa Israeli.+
16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+
30 kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli kutenda dhambi+ na kwa kutia uchungu kwake alikomtia uchungu Yehova Mungu wa Israeli.+