Waamuzi 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye alizoea kuketi chini ya mtende wa Debora uliokuwa kati ya Rama+ na Betheli+ katika eneo lenye milima la Efraimu; Waisraeli walikuwa wakienda kwake ili kupata maamuzi.
5 Naye alizoea kuketi chini ya mtende wa Debora uliokuwa kati ya Rama+ na Betheli+ katika eneo lenye milima la Efraimu; Waisraeli walikuwa wakienda kwake ili kupata maamuzi.