Mwanzo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Sara akawa anaona mwana wa Hagari Mmisri,+ ambaye alikuwa amemzalia Abrahamu, akidhihaki.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+ Luka 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.” 1 Wathesalonike 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
16 “Yeye anayewasikiliza+ ninyi ananisikiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi ya hayo, yeye anayenipuuza+ mimi anampuuza pia yule aliyenituma.”
8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.