13 Naye akaanza kumwambia Abramu: “Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao,+ nao watawatumikia watu wale, nao watawatesa kwa miaka mia nne.+
6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+
29 Lakini kama ilivyokuwa wakati huo, yule aliyezaliwa katika namna ya mwili alianza kumtesa+ yule aliyezaliwa katika namna ya roho, ndivyo ilivyo pia na sasa.+