Mwanzo 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Sara akawa anaona mwana wa Hagari Mmisri,+ ambaye alikuwa amemzalia Abrahamu, akidhihaki.+ 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+