Wagalatia 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa habari yangu, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri tohara, kwa nini bado ninateswa? Basi, kwa kweli, kikwazo+ cha mti wa mateso+ kimefutwa.+ Wagalatia 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wale wote wanaotaka kuwa na sura ya kupendeza katika mwili ndio wanaojaribu kuwalazimisha ninyi mtahiriwe,+ ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso wa Kristo,+ Yesu.
11 Kwa habari yangu, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri tohara, kwa nini bado ninateswa? Basi, kwa kweli, kikwazo+ cha mti wa mateso+ kimefutwa.+
12 Wale wote wanaotaka kuwa na sura ya kupendeza katika mwili ndio wanaojaribu kuwalazimisha ninyi mtahiriwe,+ ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso wa Kristo,+ Yesu.