Wagalatia 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa habari yangu, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri tohara, kwa nini bado ninateswa? Basi, kwa kweli, kikwazo+ cha mti wa mateso+ kimefutwa.+ Wafilipi 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana kuna wengi, nilikuwa nikiwataja mara nyingi lakini sasa nawataja pia nikilia, wanaotembea kama adui za mti wa mateso wa Kristo,+
11 Kwa habari yangu, akina ndugu, ikiwa bado ninahubiri tohara, kwa nini bado ninateswa? Basi, kwa kweli, kikwazo+ cha mti wa mateso+ kimefutwa.+
18 Kwa maana kuna wengi, nilikuwa nikiwataja mara nyingi lakini sasa nawataja pia nikilia, wanaotembea kama adui za mti wa mateso wa Kristo,+