2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+
16 “Na itatukia kwamba ikiwa kwa hakika watajifunza njia za watu wangu katika kuapa kwa jina langu,+ ‘Kama anavyoishi Yehova!’ kama walivyowafundisha watu wangu kuapa kwa Baali,+ wao pia watajengwa katikati ya watu wangu.+