2 Wafalme 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Eliya akamwambia Elisha: “Kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi na kama unavyoishi,* sitakuacha.” Basi wakashuka kwenda Betheli.+ 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:2 Igeni Imani Yao, makala 1 Mnara wa Mlinzi,4/15/2015, kur. 12-138/15/2013, uku. 29
2 Eliya akamwambia Elisha: “Kaa hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi na kama unavyoishi,* sitakuacha.” Basi wakashuka kwenda Betheli.+