2 Samweli 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini Itai akamjibu mfalme na kusema: “Kama Yehova anavyoishi na kama anavyoishi+ bwana wangu mfalme, mahali atakapokuwa bwana wangu mfalme, iwe ni kifo ama ni uzima, hapo ndipo mtumishi wako atakapokuwa!”+ Methali 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+
21 Lakini Itai akamjibu mfalme na kusema: “Kama Yehova anavyoishi na kama anavyoishi+ bwana wangu mfalme, mahali atakapokuwa bwana wangu mfalme, iwe ni kifo ama ni uzima, hapo ndipo mtumishi wako atakapokuwa!”+
24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+