3 Lakini Daudi akaapa+ tena na kusema: “Hakika baba yako anajua kwamba nimepata kibali machoni pako,+ na hivyo atasema, ‘Yonathani asijue jambo hili, asije akaumia moyoni.’ Lakini, kwa kweli, kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ kuna kama hatua moja tu kati yangu na kifo!”+