18Na ikawa kwamba, mara tu alipomaliza kusema na Sauli, nafsi ya Yonathani+ ikashikamana+ na nafsi ya Daudi, na Yonathani akaanza kumpenda kama nafsi yake mwenyewe.+
2 Lakini Yonathani mwana wa Sauli alipendezwa sana na Daudi.+ Kwa hiyo Yonathani akamwambia Daudi, akisema: “Sauli baba yangu anatafuta kukuua. Basi sasa jilinde, tafadhali, wakati wa asubuhi, nawe ukae mahali pa siri na ujifiche.+