Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+ Waebrania 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+
13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+
16 Kwa maana watu huapa kwa aliye mkubwa zaidi,+ na kiapo chao ndicho mwisho wa kila bishano, kwa kuwa hicho ni uhakikisho wa kisheria kwao.+