Mwanzo 31:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+ Mwanzo 47:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha akamwambia: “Niapie.” Basi akamwapia.+ Ndipo Israeli akajilaza kifudifudi juu ya kichwa cha kitanda.+
53 Acha mungu wa Abrahamu+ na mungu wa Nahori+ ahukumu kati yetu, mungu wa baba yao.” Lakini Yakobo akaapa kwa Hofu ya baba yake Isaka.+
31 Kisha akamwambia: “Niapie.” Basi akamwapia.+ Ndipo Israeli akajilaza kifudifudi juu ya kichwa cha kitanda.+