1 Samweli 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo akasema: “Nakuomba radhi, bwana wangu! Kama inavyoishi nafsi+ yako, bwana wangu, mimi ndiye yule mwanamke aliyekuwa amesimama pamoja nawe mahali hapa ili kusali kwa Yehova.+ 1 Samweli 17:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Basi wakati ule Sauli alipomwona Daudi akienda kukutana na yule Mfilisti, alimwambia Abneri+ mkuu wa jeshi: “Huyu mvulana+ ni mwana wa nani,+ Abneri?” Abneri naye akasema: “Kwa uhai wa nafsi yako, Ee mfalme, sijui kabisa!”
26 Ndipo akasema: “Nakuomba radhi, bwana wangu! Kama inavyoishi nafsi+ yako, bwana wangu, mimi ndiye yule mwanamke aliyekuwa amesimama pamoja nawe mahali hapa ili kusali kwa Yehova.+
55 Basi wakati ule Sauli alipomwona Daudi akienda kukutana na yule Mfilisti, alimwambia Abneri+ mkuu wa jeshi: “Huyu mvulana+ ni mwana wa nani,+ Abneri?” Abneri naye akasema: “Kwa uhai wa nafsi yako, Ee mfalme, sijui kabisa!”