Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini Itai akamjibu mfalme na kusema: “Kama Yehova anavyoishi na kama anavyoishi+ bwana wangu mfalme, mahali atakapokuwa bwana wangu mfalme, iwe ni kifo ama ni uzima, hapo ndipo mtumishi wako atakapokuwa!”+

  • 2 Wafalme 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Eliya akaanza kumwambia Elisha: “Keti hapa, tafadhali, kwa sababu Yehova amenituma niende mpaka Betheli.” Lakini Elisha akasema: “Kama Yehova anavyoishi+ na kama nafsi yako inavyoishi,+ mimi sitakuacha.”+ Basi wakashuka kwenda Betheli.+

  • Yeremia 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatikisika,+ na hakuna mataifa yatakayostahimili shutuma yake.+

  • Yeremia 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia mahali pa maficho, akisema: “Kama anavyoishi Yehova, ambaye ametufanyia sisi nafsi+ hii, mimi sitakuua, wala sitakutia mkononi mwa watu hawa wanaoitafuta nafsi yako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki