Yeremia 38:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia kisiri, akisema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ametupatia uhai huu, sitakuua, nami sitakutia mikononi mwa watu hawa wanaotaka kukuua.”*
16 Basi Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia kisiri, akisema: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, ambaye ametupatia uhai huu, sitakuua, nami sitakutia mikononi mwa watu hawa wanaotaka kukuua.”*