Yeremia 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa watu wabaya,+ nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa wenye kuonea.” Yeremia 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+
21 “Nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa watu wabaya,+ nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa wenye kuonea.”
24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+