27 Hata hivyo, Daudi akasema moyoni mwake: “Sasa mkono wa Sauli utanifagilia mbali siku moja. Hakuna jambo bora kwangu kuliko kuponyoka+ bila shaka, niende katika nchi ya Wafilisti;+ na Sauli atakata tamaa ya kunitafuta tena katika eneo lote la Israeli,+ nami nitaponyoka kutoka mkononi mwake.”