Zaburi 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nafsi yetu imekuwa ikimtarajia Yehova.+Yeye ni msaidizi wetu na ngao yetu.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+ 2 Wakorintho 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na hali za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa mwenye nguvu.+
10 Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na hali za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa mwenye nguvu.+