3 Lakini Daudi akaapa hivi tena: “Bila shaka baba yako anajua kwamba unanipenda+ na hivyo atasema, ‘Msimwambie Yonathani jambo hili asije akahuzunika.’ Lakini kwa hakika kama Yehova anavyoishi na kwa hakika kama unavyoishi, kuna hatua moja tu kati yangu na kifo!”+